1 Wafalme 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Eliya akawakaribia watu wote na kusema: “Mtaendelea kuyumbayumba kati ya maoni mawili tofauti*+ mpaka wakati gani? Ikiwa Yehova ndiye Mungu wa kweli, mfuateni;+ lakini ikiwa ni Baali, mfuateni!” Hata hivyo, watu hawakumjibu neno lolote. Ufunuo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi kwa sababu wewe ni vuguvugu na si moto+ wala si baridi,+ nitakutapika kutoka kinywani mwangu.
21 Kisha Eliya akawakaribia watu wote na kusema: “Mtaendelea kuyumbayumba kati ya maoni mawili tofauti*+ mpaka wakati gani? Ikiwa Yehova ndiye Mungu wa kweli, mfuateni;+ lakini ikiwa ni Baali, mfuateni!” Hata hivyo, watu hawakumjibu neno lolote.
16 Basi kwa sababu wewe ni vuguvugu na si moto+ wala si baridi,+ nitakutapika kutoka kinywani mwangu.