Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Je, taifa limewahi kubadili miungu yake kwa ajili ya miungu ambayo si miungu?

      Lakini watu wangu mwenyewe wamebadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu kisicho na maana.+

  • Hosea 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Moyo wao una unafiki;*

      Sasa watapatikana na hatia.

      Kuna yule atakayebomoa madhabahu zao na kuharibu nguzo zao.

  • Mathayo 12:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yeyote asiye upande wangu ananipinga, na yeyote asiyekusanya pamoja nami anatawanya.+

  • 1 Wakorintho 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hamwezi kuwa mkinywa kikombe cha Yehova* na kikombe cha roho waovu; hamwezi kuwa mkishiriki “meza ya Yehova”*+ na meza ya roho waovu.

  • 2 Wakorintho 6:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Msifungwe nira* isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+ 15 Isitoshe, kuna upatano gani kati ya Kristo na Beliali?*+ Au mwamini* ana ushirika gani* na mtu asiye mwamini?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki