Yoshua 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kitabu hiki cha Sheria kisiondoke kinywani mwako,+ ni lazima ukisome kwa sauti ya chini* mchana na usiku ili ufuate kwa uangalifu mambo yote yaliyoandikwa humo;+ ndipo utakapofanikisha njia yako na kutenda kwa hekima.+ Zaburi 119:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Nitainua mikono yangu kuelekea amri zako, ambazo ninazipenda,+Nami nitayatafakari* masharti yako.+
8 Kitabu hiki cha Sheria kisiondoke kinywani mwako,+ ni lazima ukisome kwa sauti ya chini* mchana na usiku ili ufuate kwa uangalifu mambo yote yaliyoandikwa humo;+ ndipo utakapofanikisha njia yako na kutenda kwa hekima.+
48 Nitainua mikono yangu kuelekea amri zako, ambazo ninazipenda,+Nami nitayatafakari* masharti yako.+