Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nipe uelewaji,

      Ili niweze kushika sheria yako

      Na kuitii kwa moyo wangu wote.

  • 2 Timotheo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Fikiria daima mambo ninayosema; Bwana atakupatia uelewaji* katika mambo yote.

  • Yakobo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima, na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu,*+ naye atapewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki