Zaburi 119:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nipe uelewaji,Ili niweze kushika sheria yakoNa kuitii kwa moyo wangu wote. 2 Timotheo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Fikiria daima mambo ninayosema; Bwana atakupatia uelewaji* katika mambo yote. Yakobo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima, na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu,*+ naye atapewa.+
5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima, na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu,*+ naye atapewa.+