Hesabu 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova na awaangazie nuru ya uso wake,+ na kuwapa kibali chake. Zaburi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kuna wengi wanaosema: “Ni nani atakayetuonyesha jambo lolote jema?” Acha nuru ya uso wako ituangazie, Ee Yehova.+
6 Kuna wengi wanaosema: “Ni nani atakayetuonyesha jambo lolote jema?” Acha nuru ya uso wako ituangazie, Ee Yehova.+