Hesabu 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yehova na ainue uso wake kuwaelekea na kuwapa amani.”’+ Zaburi 80:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ee Mungu wa majeshi, turudishe;Uso wako na utuangazie, ili tuokolewe.+ Methali 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima;Kibali chake ni kama wingu la mvua wakati wa masika.+ 1 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+
12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+