Kutoka 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+ Zaburi 119:160 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 160 Kiini hasa cha neno lako ni kweli,+Na hukumu zako zote za uadilifu zinadumu milele. Yohana 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watakase* kupitia ile kweli;+ neno lako ni kweli.+
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+