2 Samweli 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+ 1 Wafalme 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mfalme pia alitengeneza kiti kikubwa cha ufalme cha pembe za tembo+ na kukifunika kwa dhahabu safi.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Sulemani akaketi kwenye kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme baada ya Daudi baba yake, akafanikiwa, na Waisraeli wote walimtii.
16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+
18 Mfalme pia alitengeneza kiti kikubwa cha ufalme cha pembe za tembo+ na kukifunika kwa dhahabu safi.+
23 Na Sulemani akaketi kwenye kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme baada ya Daudi baba yake, akafanikiwa, na Waisraeli wote walimtii.