Zaburi 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, kwa nini maadui wangu wamekuwa wengi sana?+ Kwa nini watu wengi sana wanainuka dhidi yangu?+ Zaburi 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mbwa wananizunguka;+Wananizingira kama kundi la watenda maovu,+Kama simba, wanaishambulia mikono yangu na miguu yangu.+
3 Ee Yehova, kwa nini maadui wangu wamekuwa wengi sana?+ Kwa nini watu wengi sana wanainuka dhidi yangu?+
16 Kwa maana mbwa wananizunguka;+Wananizingira kama kundi la watenda maovu,+Kama simba, wanaishambulia mikono yangu na miguu yangu.+