Zaburi 112:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 112 Msifuni Yah!*+ א [Aleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ב [Beth] Anayependezwa sana na amri zake.+ Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.
112 Msifuni Yah!*+ א [Aleph] Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+ב [Beth] Anayependezwa sana na amri zake.+
7 Alipokuwa duniani,* Kristo alitoa dua na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, naye akasikilizwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa Mungu.