-
2 Mambo ya Nyakati 6:41, 42Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
41 Na sasa, Ee Yehova Mungu, panda uingie mahali pako pa kupumzikia,+ wewe pamoja na Sanduku la nguvu zako. Makuhani wako, Ee Yehova Mungu, na wavishwe wokovu, na acha washikamanifu wako washangilie kwa sababu ya wema wako.+ 42 Ee Yehova Mungu, usimkatae* mtiwa-mafuta wako.+ Ukumbuke upendo wako mshikamanifu kwa Daudi mtumishi wako.”+
-