1 Wafalme 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, kwa sababu ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa huko Yerusalemu+ kwa kumwinua mwana wake atawale baada yake na kufanya jiji la Yerusalemu lidumu. 2 Wafalme 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Nitalilinda jiji hili+ na kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+Na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+
4 Hata hivyo, kwa sababu ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa huko Yerusalemu+ kwa kumwinua mwana wake atawale baada yake na kufanya jiji la Yerusalemu lidumu.
34 “Nitalilinda jiji hili+ na kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+Na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+