Zaburi 86:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna yeyote aliye kama wewe kati ya miungu, Ee Yehova,+Hakuna kazi zilizo kama kazi zako.+ Isaya 45:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote. Hakuna Mungu ila mimi.+ Nitakuimarisha,* ingawa hukunijua,
5 Mimi ni Yehova, na hakuna mwingine yeyote. Hakuna Mungu ila mimi.+ Nitakuimarisha,* ingawa hukunijua,