Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hao walikuwa waimbaji, viongozi wa koo* za Walawi katika vyumba* vya nyumba hiyo, wale ambao hawakupewa kazi nyingine; kwa maana usiku na mchana walikuwa na wajibu wa kushika zamu zao.

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi wenye umri wa miaka 20 na zaidi walihesabiwa.

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Walipaswa kusimama asubuhi baada ya asubuhi+ ili kumshukuru na kumsifu Yehova, na walipaswa kufanya hivyo jioni pia.+

  • Luka 2:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 na sasa alikuwa mjane mwenye umri wa miaka 84. Hakukosa kamwe hekaluni, akitoa utumishi mtakatifu usiku na mchana, akifunga na kutoa dua.

  • Ufunuo 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndiyo sababu wako mbele ya kile kiti cha ufalme cha Mungu, nao wanamtolea utumishi mtakatifu mchana na usiku katika hekalu lake; na Yule anayeketi kwenye kiti cha ufalme+ atatandaza hema lake juu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki