Zaburi 96:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mpeni Yehova utukufu ambao jina lake linastahili;+Leteni zawadi na mwingie katika nyua zake. Zaburi 116:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika nyua za nyumba ya Yehova,+Kati yako, Ee Yerusalemu. Msifuni Yah!*+