Kumbukumbu la Torati 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha, asiyempendelea yeyote+ na hakubali rushwa. Zaburi 97:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;Umekwezwa juu zaidi ya miungu mingine yote.+
17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha, asiyempendelea yeyote+ na hakubali rushwa.
9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;Umekwezwa juu zaidi ya miungu mingine yote.+