Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi muda mrefu! Kwa nini nisiwe na huzuni wakati lile jiji, mahali ambapo mababu zangu wamezikwa ni magofu, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+

  • Zaburi 84:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nafsi yangu yote inatamani,

      Naam, ninazimia kwa kutamani,

      Nyua za Yehova.+

      Moyo wangu na mwili wangu humshangilia kwa sauti Mungu aliye hai.

  • Zaburi 102:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hakika utainuka na kulionyesha rehema Sayuni,+

      Kwa maana ni wakati wa kulionyesha kibali chako;+

      Wakati uliowekwa umefika.+

      14 Kwa maana watumishi wako wanayathamini mawe yake+

      Nao wanayapenda hata mavumbi yake.+

  • Isaya 62:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Sitanyamaza kwa ajili ya Sayuni,+

      Nami sitatulia kwa ajili ya Yerusalemu

      Mpaka uadilifu wake ung’ae kama mwangaza mkali+

      Na wokovu wake uwake kama mwenge.+

  • Yeremia 51:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Ninyi mnaoponyoka upanga, endeleeni kupiga mwendo, msisimame tuli!+

      Mkumbukeni Yehova kutoka mbali,

      Yerusalemu na aingie moyoni mwenu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki