Zaburi 102:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mataifa yataliogopa jina la Yehova,Na wafalme wote wa dunia utukufu wako.+ Isaya 60:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mataifa yataenda kwenye nuru yako+Na wafalme+ kwenye fahari yako inayong’aa.*+