Zaburi 63:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninashikamana nawe;Mkono wako wa kuume hunishika kwa nguvu.+ Zaburi 73:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini sasa niko pamoja nawe sikuzote;Umeushika mkono wangu wa kulia.+ Isaya 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika kwa nguvu mkono wako wa kulia,Mimi ninayekuambia, ‘Usiogope. Nitakusaidia.’+
13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika kwa nguvu mkono wako wa kulia,Mimi ninayekuambia, ‘Usiogope. Nitakusaidia.’+