2 Yehu+ mwana wa mwonaji Hanani+ alienda kukutana na Mfalme Yehoshafati na kumuuliza: “Je, unapaswa kuwasaidia waovu,+ na je, unapaswa kuwapenda wale wanaomchukia Yehova?+ Kwa sababu hiyo ghadhabu ya Yehova iko dhidi yako.
14 Msifungwe nira* isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+