Zaburi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Matatizo anayosababisha yatarudi juu ya kichwa chake mwenyewe;+Ukatili wake utaanguka juu ya utosi wa kichwa chake. Methali 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwovu hunaswa na mazungumzo yake ya dhambi,+Lakini mwadilifu huokoka kutoka katika taabu.
16 Matatizo anayosababisha yatarudi juu ya kichwa chake mwenyewe;+Ukatili wake utaanguka juu ya utosi wa kichwa chake.