Zaburi 40:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tafadhali, Ee Yehova, uwe tayari kuniokoa.+ Ee Yehova, njoo haraka unisaidie.+ Zaburi 70:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini sina uwezo, nami ni maskini;+Ee Mungu, tenda haraka kwa niaba yangu.+ Wewe ni msaidizi wangu na mwokozi wangu.+ Ee Yehova, usikawie.+
5 Lakini sina uwezo, nami ni maskini;+Ee Mungu, tenda haraka kwa niaba yangu.+ Wewe ni msaidizi wangu na mwokozi wangu.+ Ee Yehova, usikawie.+