Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:66
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Siku iliyofuata,* aliwaruhusu watu waondoke, nao wakambariki mfalme na kwenda nyumbani kwao wakishangilia na kufurahi moyoni kwa sababu ya wema wote+ ambao Yehova alikuwa amemtendea Daudi mtumishi wake na watu wake Waisraeli.

  • Zaburi 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nitamwimbia Yehova, kwa maana amenithawabisha kwelikweli.*+

  • Zaburi 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jinsi wema wako ulivyo mwingi sana!+

      Umewahifadhia wale wanaokuogopa,+

      Nawe umeuonyesha mbele ya wanadamu wote, kwa niaba ya wale wanaokukimbilia wewe.+

  • Isaya 63:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nitayataja matendo ya Yehova ya upendo mshikamanifu,

      Matendo ya Yehova yanayostahili sifa,

      Kwa sababu ya mambo yote ambayo Yehova ametutendea,+

      Mambo mengi mema ambayo ameitendea nyumba ya Israeli,

      Kulingana na rehema zake na upendo wake mshikamanifu ulio mwingi.

  • Yeremia 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe juu ya kilele cha Sayuni+

      Na kung’aa kwa sababu ya wema wa* Yehova,

      Kwa sababu ya nafaka na divai mpya+ na mafuta,

      Na kwa sababu ya wanakondoo na ndama.+

      Watakuwa* kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+

      Nao hawatadhoofika tena.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki