Isaya 64:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tangu zamani hakuna mtu aliyesikia wala kutega sikio,Wala hakuna jicho lililomwona Mungu, isipokuwa wewe,Yule anayetenda kwa ajili ya wale wanaoendelea kumtarajia.*+ 1 Wakorintho 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini kama ilivyoandikwa: “Jicho halijaona na sikio halijasikia, wala hayajawaziwa katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu amewatayarishia wale wanaompenda.”+
4 Tangu zamani hakuna mtu aliyesikia wala kutega sikio,Wala hakuna jicho lililomwona Mungu, isipokuwa wewe,Yule anayetenda kwa ajili ya wale wanaoendelea kumtarajia.*+
9 Lakini kama ilivyoandikwa: “Jicho halijaona na sikio halijasikia, wala hayajawaziwa katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu amewatayarishia wale wanaompenda.”+