-
Zaburi 130:6-8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Ninamngojea Yehova kwa hamu,+
Kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi,+
Naam, kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi.
7 Watu wa Israeli na waendelee kumngojea Yehova,
Kwa maana Yehova ni mshikamanifu katika upendo wake,+
Naye ana nguvu nyingi za kukomboa.
8 Atawakomboa watu wa Israeli kutoka katika makosa yao yote.
-