Zaburi 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Niokoe kutoka katika hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu utangaze uadilifu wako kwa shangwe.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
14 Niokoe kutoka katika hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu utangaze uadilifu wako kwa shangwe.+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+