Ufunuo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme!+
6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,*+ kwa sababu Yehova* Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme!+