Ayubu 38:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ni nani anayemtayarishia chakula kunguru+Makinda wake wanapomlilia Mungu wakiomba msaadaNa kutangatanga kwa sababu hawana chakula? Luka 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waangalieni kunguru: Hawapandi mbegu wala hawavuni; hawana bohari wala ghala; lakini Mungu huwalisha.+ Je, ninyi si wenye thamani kuliko ndege?+
41 Ni nani anayemtayarishia chakula kunguru+Makinda wake wanapomlilia Mungu wakiomba msaadaNa kutangatanga kwa sababu hawana chakula?
24 Waangalieni kunguru: Hawapandi mbegu wala hawavuni; hawana bohari wala ghala; lakini Mungu huwalisha.+ Je, ninyi si wenye thamani kuliko ndege?+