Zaburi 147:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anawapa wanyama chakula,+Kunguru wachanga wanaokililia.+ Mathayo 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Waangalieni kwa makini ndege wa angani;+ hawapandi mbegu, hawavuni, wala kukusanya ghalani, na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wenye thamani kuliko wao? Luka 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waangalieni kunguru: Hawapandi mbegu wala hawavuni; hawana bohari wala ghala; lakini Mungu huwalisha.+ Je, ninyi si wenye thamani kuliko ndege?+
26 Waangalieni kwa makini ndege wa angani;+ hawapandi mbegu, hawavuni, wala kukusanya ghalani, na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wenye thamani kuliko wao?
24 Waangalieni kunguru: Hawapandi mbegu wala hawavuni; hawana bohari wala ghala; lakini Mungu huwalisha.+ Je, ninyi si wenye thamani kuliko ndege?+