Ayubu 38:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ni nani anayemtayarishia chakula kunguru+Makinda wake wanapomlilia Mungu wakiomba msaadaNa kutangatanga kwa sababu hawana chakula? Zaburi 147:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anawapa wanyama chakula,+Kunguru wachanga wanaokililia.+ Mathayo 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Shore wawili huuzwa kwa sarafu ya thamani ndogo,* sivyo? Lakini hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+
41 Ni nani anayemtayarishia chakula kunguru+Makinda wake wanapomlilia Mungu wakiomba msaadaNa kutangatanga kwa sababu hawana chakula?
29 Shore wawili huuzwa kwa sarafu ya thamani ndogo,* sivyo? Lakini hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+