Zaburi 103:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Msifuni Yehova, enyi malaika wake wote,+ mlio na nguvu nyingi,Mnaotekeleza neno lake,+ mkitii sauti yake.* Luka 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ghafla wakaona umati wa jeshi la mbinguni ukiwa pamoja na yule malaika,+ wakimsifu Mungu wakisema:
20 Msifuni Yehova, enyi malaika wake wote,+ mlio na nguvu nyingi,Mnaotekeleza neno lake,+ mkitii sauti yake.*
13 Ghafla wakaona umati wa jeshi la mbinguni ukiwa pamoja na yule malaika,+ wakimsifu Mungu wakisema: