Yeremia 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wewe unayewatendea kwa upendo mshikamanifu maelfu ya watu, lakini unawaadhibu wana kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ Mungu wa kweli, uliye mkuu na Mwenye nguvu, ambaye jina lako ni Yehova wa majeshi. Yuda 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Enoko,+ wa kizazi cha saba kutoka kwa Adamu, alitabiri pia kuwahusu aliposema: “Tazama! Yehova* alikuja pamoja na maelfu* ya watakatifu wake+
18 Wewe unayewatendea kwa upendo mshikamanifu maelfu ya watu, lakini unawaadhibu wana kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ Mungu wa kweli, uliye mkuu na Mwenye nguvu, ambaye jina lako ni Yehova wa majeshi.
14 Enoko,+ wa kizazi cha saba kutoka kwa Adamu, alitabiri pia kuwahusu aliposema: “Tazama! Yehova* alikuja pamoja na maelfu* ya watakatifu wake+