Zaburi 37:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wokovu wa watu waadilifu unatoka kwa Yehova;+Yeye ndiye ngome yao wakati wa taabu.+ Isaya 43:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi—mimi ni Yehova,+ na zaidi yangu hakuna mwokozi.”+ Ufunuo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni. Wakasema: “Msifuni Yah!*+ Wokovu na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,
19 Baada ya hayo nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni. Wakasema: “Msifuni Yah!*+ Wokovu na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,