Zaburi 21:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ee Yehova, mfalme hushangilia kwa sababu ya nguvu zako;+Jinsi anavyoshangilia sana kwa sababu ya matendo yako ya wokovu!+ 2 Umetosheleza tamaa ya moyo wake,+Nawe hujamnyima ombi la midomo yake. (Sela)
21 Ee Yehova, mfalme hushangilia kwa sababu ya nguvu zako;+Jinsi anavyoshangilia sana kwa sababu ya matendo yako ya wokovu!+ 2 Umetosheleza tamaa ya moyo wake,+Nawe hujamnyima ombi la midomo yake. (Sela)