Zaburi 40:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ninatangaza habari njema ya uadilifu katika kutaniko kubwa.+ Tazama! Siizuii midomo yangu,+Ee Yehova, kama unavyojua vema. Waebrania 2:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yule anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hiyo yeye haoni aibu kuwaita ndugu,+ 12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu kwa wimbo.”+
9 Ninatangaza habari njema ya uadilifu katika kutaniko kubwa.+ Tazama! Siizuii midomo yangu,+Ee Yehova, kama unavyojua vema.
11 Kwa maana yule anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hiyo yeye haoni aibu kuwaita ndugu,+ 12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu kwa wimbo.”+