Mathayo 12:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kwa maana yeyote anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+ Waroma 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kwa sababu wale aliowatambua kwanza, aliwachagua awali pia wafananishwe na mfano wa Mwana wake,+ ili awe mzaliwa wa kwanza+ kati ya ndugu wengi.+
50 Kwa maana yeyote anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+
29 kwa sababu wale aliowatambua kwanza, aliwachagua awali pia wafananishwe na mfano wa Mwana wake,+ ili awe mzaliwa wa kwanza+ kati ya ndugu wengi.+