Marko 3:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yeyote anayefanya mapenzi ya Mungu, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+ Luka 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Akawajibu: “Mama yangu na ndugu zangu ni hawa wanaosikia neno la Mungu na kulitenda.”+