Mathayo 12:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kwa maana yeyote anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+ Luka 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Akawajibu: “Mama yangu na ndugu zangu ni hawa wanaosikia neno la Mungu na kulitenda.”+ Yohana 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mnafanya mambo ninayowaamuru.+
50 Kwa maana yeyote anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+