Mathayo 12:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Kwa maana yeyote anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+ Yohana 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu akamjibu: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika neno langu,+ naye Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+
50 Kwa maana yeyote anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+
23 Yesu akamjibu: “Ikiwa yeyote ananipenda, atalishika neno langu,+ naye Baba yangu atampenda, nasi tutakuja kwake na kukaa pamoja naye.+