Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:48-50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Yesu akamjibu mtu huyo: “Mama yangu ni nani, na ndugu zangu ni nani?” 49 Akinyoosha mkono wake kuelekea wanafunzi wake, akasema: “Tazama! Mama yangu na ndugu zangu!+ 50 Kwa maana yeyote anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+

  • Marko 3:33-35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lakini akawauliza: “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?” 34 Akawatazama watu walioketi kumzunguka, akasema: “Tazama, mama yangu na ndugu zangu!+ 35 Yeyote anayefanya mapenzi ya Mungu, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+

  • Yohana 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mnafanya mambo ninayowaamuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki