Mathayo 12:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Akinyoosha mkono wake kuelekea wanafunzi wake, akasema: “Tazama! Mama yangu na ndugu zangu!+ Waebrania 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yule anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hiyo yeye haoni aibu kuwaita ndugu,+
11 Kwa maana yule anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hiyo yeye haoni aibu kuwaita ndugu,+