Zaburi 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha nitakushukuru katika kutaniko kubwa;+Nitakusifu katikati ya umati wa watu. Zaburi 40:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Siufuniki uadilifu wako moyoni mwangu. Ninatangaza uaminifu wako na wokovu wako. Siufichi upendo wako mshikamanifu na ukweli wako katika kutaniko kubwa.”+ Zaburi 111:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 111 Msifuni Yah!*+ א [Aleph] Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+ב [Beth] Katika kikundi kilichokusanyika cha watu wanyoofu na katika kutaniko.
10 Siufuniki uadilifu wako moyoni mwangu. Ninatangaza uaminifu wako na wokovu wako. Siufichi upendo wako mshikamanifu na ukweli wako katika kutaniko kubwa.”+
111 Msifuni Yah!*+ א [Aleph] Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+ב [Beth] Katika kikundi kilichokusanyika cha watu wanyoofu na katika kutaniko.