Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Msikiaji wa sala, watu wa kila aina* watakujia.+ 1 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+
12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+