Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani kuwa dhabihu yake ananitukuza,+Na yule anayefuata njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+ Zaburi 95:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Twendeni mbele zake* tukiwa na shukrani;+Na tuimbe na kumpazia sauti kwa ushindi.
23 Yule anayetoa shukrani kuwa dhabihu yake ananitukuza,+Na yule anayefuata njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+