Ayubu 33:28-30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ameikomboa nafsi yangu isiingie* shimoni,*+Na uhai wangu utaona nuru.’ 29 Kwa kweli, Mungu hufanya mambo haya yoteMara mbili, mara tatu, kwa ajili ya mwanadamu,30 Ili kumrudisha kutoka shimoni,*Ili aweze kuangaziwa nuru ya uzima.+
28 Ameikomboa nafsi yangu isiingie* shimoni,*+Na uhai wangu utaona nuru.’ 29 Kwa kweli, Mungu hufanya mambo haya yoteMara mbili, mara tatu, kwa ajili ya mwanadamu,30 Ili kumrudisha kutoka shimoni,*Ili aweze kuangaziwa nuru ya uzima.+