Zaburi 62:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana wanashauriana ili kumwangusha kutoka katika cheo chake cha juu;*Wanafurahia kusema uwongo. Kwa kinywa chao wanabariki, lakini ndani yao wanalaani.+ (Sela)
4 Kwa maana wanashauriana ili kumwangusha kutoka katika cheo chake cha juu;*Wanafurahia kusema uwongo. Kwa kinywa chao wanabariki, lakini ndani yao wanalaani.+ (Sela)