Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana hakuna lolote wanalosema linaloweza kutumainiwa;

      Ndani yao hamna lolote isipokuwa nia ya kudhuru.

      Koo lao ni kaburi lililo wazi;

      Wanasifusifu kwa ulimi wao.*+

  • Zaburi 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Usinikokote pamoja na waovu, pamoja na wale wanaotenda mambo yanayodhuru,+

      Wale wanaoongea na jirani yao maneno ya amani lakini uovu uko mioyoni mwao.+

  • Zaburi 55:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Maneno yake ni laini kuliko siagi,+

      Lakini mzozo umo moyoni mwake.

      Maneno yake ni laini kuliko mafuta,

      Lakini ni panga zilizochomolewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki