Zaburi 28:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Usinikokote pamoja na waovu, pamoja na wale wanaotenda mambo yanayodhuru,+Wale wanaoongea na jirani yao maneno ya amani lakini uovu uko mioyoni mwao.+ Zaburi 62:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana wanashauriana ili kumwangusha kutoka katika cheo chake cha juu;*Wanafurahia kusema uwongo. Kwa kinywa chao wanabariki, lakini ndani yao wanalaani.+ (Sela)
3 Usinikokote pamoja na waovu, pamoja na wale wanaotenda mambo yanayodhuru,+Wale wanaoongea na jirani yao maneno ya amani lakini uovu uko mioyoni mwao.+
4 Kwa maana wanashauriana ili kumwangusha kutoka katika cheo chake cha juu;*Wanafurahia kusema uwongo. Kwa kinywa chao wanabariki, lakini ndani yao wanalaani.+ (Sela)