Zaburi 59:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao,Kiburi chao na kiwanase,+Kwa sababu ya matusi na udanganyifu wanaosema. Yeremia 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kilio na kisikiwe kutoka katika nyumba zaoUtakapowaletea wavamizi kwa ghafla. Kwa maana wamechimba shimo ili kunikamataNao wametega mitego ya kuinasa miguu yangu.+
12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao,Kiburi chao na kiwanase,+Kwa sababu ya matusi na udanganyifu wanaosema.
22 Kilio na kisikiwe kutoka katika nyumba zaoUtakapowaletea wavamizi kwa ghafla. Kwa maana wamechimba shimo ili kunikamataNao wametega mitego ya kuinasa miguu yangu.+