Zaburi 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikia sihi zangu ninapokulilia unisaidieNinapoinua mikono yangu kuelekea chumba cha ndani zaidi cha mahali pako patakatifu.+ Zaburi 138:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitainama chini kuelekea hekalu lako takatifu,*+Nami nitalisifu jina lako+Kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu na uaminifu wako. Kwa maana umelitukuza neno lako na jina lako juu ya vitu vingine vyote.*
2 Sikia sihi zangu ninapokulilia unisaidieNinapoinua mikono yangu kuelekea chumba cha ndani zaidi cha mahali pako patakatifu.+
2 Nitainama chini kuelekea hekalu lako takatifu,*+Nami nitalisifu jina lako+Kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu na uaminifu wako. Kwa maana umelitukuza neno lako na jina lako juu ya vitu vingine vyote.*